airtel

airtel

.

.

Saturday, January 26, 2013

BEYONCE AMNUNULIA MAMA YAKE MZAZI JUMBA LA KIFAHARI LENYE THAMANI YA DOLA 5.9 MILIONI

Star kutoka Hollywood Beyonce, amemnunulia mama yake mzazi Tina Knowles jumba la kifahari ambalo limemgharimu kiasi cha zaidi ya dolla za kimarekani $5.8 Million. Jumba hilo ambalo lipo katika mji wa Houston ni kubwa sana na lina vitu vingi ambavyo hata huwezi kufikiria kama huyo mama atakuwa kama anavitumia.
Check picha zaidi za jumba lenyewe hapa chini....





 
PICHA ZOTE KWA HISANI YA  MTANDAO.

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...