airtel

airtel

.

.

Monday, January 21, 2013

CCM YAFUNIKA MWANZA YAAHIDI KUFANYA MENGI MAZURI KWA WANANCHI

Makamu Mwenyekiti wa CCM (Bara) Philip Mangula na Waziri wa Uchukuzi Dk. Harrisoin Mwakyembe wakiwaaga wananchi, baada ya Mkutano mkubwa wa hadhara wa CCM uliofanyika leo kwenye uwanja wa Nyamagana jijini Mwanza
Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Nape Nnauye akihutubia maelfu ya wananchi waliofurika kweneye mkutano wa CCM uliofanyika leo kwenye Uwanja wa Nyamagana jijini Mwanza na mgeni rasmi akiwa Makamu Mwenyekiti wa CCM (Bara ) Phili Mangula.Picha na Bashir Nkromo-itikadi Uenezi CCM,Makao Makuu

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...