airtel

airtel

.

.

Friday, January 11, 2013

KAMA WEWE NI SHABIKI INAKUHUSU HII:RICK ROSS KUJA NA TAMTHILIYA YA KIMAFIA

Rickross ,kwa sasa star huyu anashiriki katika tamthilia ya Umafia inayo tengenezwa Mjini Miami, Marekani. Kwenye Tamthilia hii ya Magic City inayo weka wazi matendo ya Mafia yaliyo fanyika Miaka ya 1950, Rozay anaingia kwenye season ya Pili na anavaa husika wa Bolita Boss. Kazi na matendo ya Boss huyu ni Mauwaji na Ujambazi na msemo wake kwenye Tamthilia Hii ni "God is good... Until he ain't," Nastaboy blogspot imethibitisha habari hii kutoka katika chanzo cha habari cha kuaminika,kaeni mkao wa kula kumuona Rick ross katika harakati zake na safari hii akituonyesha uwezo wake haupo katika kuimba tu bali hata katika kuigiza.
Moja ya scene katika picha ambayo rick ross ameiigiza katika tamthiliya hiyo

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...