

Profesa Jay alionekana kufurahia kipaji kipya hiki na kuandika katika ukurasa wake wa twitter na kukitaka kitilie mkazo ili kujaribu kuonesha utofauti kwenye game ya muziki huu wa Tanzania na kuufikisha mbali.
Vanessa alijibu na kusema ahsante na kwamba atalifanyia kazi hili. Vanessa Mdee alirekodi track kadhaa alizofanya kama collabo kabla lakini weekend iliyoisha aliachia wimbo wake mpya unaojulikana kama CLOSER na kuonesha ni jinsi gani anaweza.


No comments:
Post a Comment