airtel

airtel

.

.

Monday, February 11, 2013

MH.LOWASA AHUDHURIA MAZISHI YA MAMA YAKE MZAZI DR.KIMEI ALIYEZIKWA MAPEMA LEO

msiba1 a23b2
Mawaziri wakuu wastaafu Mh Edward Lowassa na Mh Fredrick Sumaye wakijumuka na viongozi wengine katika msiba wa mama yake mkurugenzi mtendaji mkuu wa crdb, dr kimei mwishoni mwa wiki huko Komakundi Marangu Mkoani Kilimanjaro.
msiba2 b42ff
Mh Lowassa akitia saini kitabu cha maomolezi ya kifo cha bibi Eliangichopasia, ambaye ni mama yake mkurugenzi mtendaji wa crdb dr kimei.bibi huyo alifariki wakiwa na umri wa miaka 97.

msiba3 7034b
Mh Lowassa akiwapa pole Dr Kimei(katikati) na dada yake
msiba 6634d 
NASTA BOY BLOGSPOT INATOA POLE KWA MH.LOWASA NA FAMILIA YAKE KWA MSIBA HUU.

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...