airtel

airtel

.

.

Wednesday, March 6, 2013

HIZI NDIO PICHA 11 ZA PATASHIKA YA MECHI KALI ILIYOCHEZWA JANA TRH 5/3/2013 KATI YA REAL MADRID NA MANCHESTER UNITED AMBAPO REAL MADRID ILICHOMOKA NA USHINDI.


Mshambuliaji wa Real Madrid, Cristiano Ronaldo, akiifungia timu yake bao la pili na la ushindi katika mchezo wao dhidi ya Manchester United kwenye uwanja wa Old Trafford jijini Manchester.
Beki wa Real Madrid, Sergio Ramos, akijifunga na kuwafanya Man Utd kuongoza kwa bao 1-0 wakati wa mchezo huo.…


Mshambuliaji wa Real Madrid, Cristiano Ronaldo, akiifungia timu yake bao la pili na la ushindi katika mchezo wao dhidi ya Manchester United kwenye uwanja wa Old Trafford jijini Manchester.
Beki wa Real Madrid, Sergio Ramos, akijifunga na kuwafanya Man Utd kuongoza kwa bao 1-0 wakati wa mchezo huo.
Kiungo wa Real Madrid, Luka Modric, akipiga shuti lililokwenda moja kwa moja langoni  mwa Man Utd na kufanya matokeo yawe 1-1 wakati mchezo ukiendelea.
Luis Nani wa Manchester United akisikitika baada ya kuonyeshwa kadi nyekundu.
Patashika langoni mwa Real Madrid.
Sergio Ramos akimvuta jezi mshambuliaji wa Man Utd, Danny Welbeck.
Baadhi ya mabango ya kumkaribisha Cristiano Ronaldo Man Utd.
Ronaldo baada ya kuifungia timu yake bao la ushindi.

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...