airtel

airtel

.

.

Saturday, December 28, 2013

ROMA MKATOLIKI AELEZA YA MOYONI

msanii roma kutoka tanga tanzania,ameamua Rasmi kujiunga na chama cha CHADEMA ili kuendeleza harakati zake za kufikisha ujumbe wa masuala mbalimbali yanayoihusu jamii kupitia mziki wake, akiwasiliana na CEO wa blog hii Nurudini stambuli,Roma ameeleza kuwa kupitia chama hicho ataweza kuibua mambo mengi yanayohusu jamii na ukombozi wake.

1 comment:

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...