airtel

airtel

.

.

Thursday, January 1, 2015

PICHA:MWANAMUZIKI MAHIRI NCHINI DIAMOND NA MPENZI WAKE ZARI WAZURU MAKUMBUSHO YA MAUAJI YA KIMBARI NCHINI RWANDA


 Zari akiwa na huzuni kubwa katika jumba hilo.
Diamond na Zari wakiwa katika jumba hilo.
 Matembezi ndani ya jumba hilo yakiendelea...kushoto ni Meneja wake Mkubwa Fela
 
 Ilikuwa ni mshituko na mshangao mkubwa juu ya matukio waliyoyaona.
MSANII nguli wa Bongo Fleva, Nassib Abdul 'Diamond' na rafiki yake wa kike mganda Zari Hassan wamezuri makumbusho ya taifa ya mauaji ya kimbarti nchini Rwanda.

Diamond yupo mjini Kigali Rwanda kwaajili ya show kadhaa za mwaka mpya ikiwa ni mwaliko maalum wa East Africa Promotion 

Wawili hao wakiwa katika jumba hilo waliweza kujionea pichja mbalimbali za mauaji hayo jambo ambalo lilipelekea Zari kububujikwa na machozi kutokana na picha hizo na maelezo ya mauaji ya 1994 ambayo yaligharimu uahai wa watu zaidi ya 500,000.

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...