airtel

airtel

.

.

Thursday, June 29, 2017

JE UMESAHAU PATTERN KATIKA SIMU YAKO,ELIMIKA HAPA

Njia hii ni mahususi kwa simu za android pekee, kwani ukifanya hivi katika simu nyingine haitafaa.

1.Zima simu yako

2.Bonyeza kwa pamoja kitufe cha kuwashia simu (Power Button) na kitufe cha juu cha kuongezea sauti (Volume Up Button) kwa sekunde 5 hadi uone simu inawaka.

3.Kwa watumiaji wa simu za Samsung Galaxy bonyeza kwa pamoja kitufe cha kuwashia simu (Power Button) na kitufe cha juu cha kuongezea sauti na Home button.

4.Utaona maandishi madogo upande wa kushoto  yaliyopangwa kushuka chini.

5.Bonyeza kitufe cha chini cha sauti ili kuchagua maneno yaliyoandikwa (Wipe data/Factory reset)

6.Kisha bonyeza kitufe cha kuwashia simu (Power Button).

7.Acha simu yako ifanye reboot.

8.Tayari umefanikiwa kuondoa password au pattern uliyoisahau.


No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...