airtel

airtel

.

.

Saturday, July 1, 2017

Rapper wa Marekani, Future amethibitisha show yake ya Tanzania, Julai 22.

TANZANIA YATAJWA KATIKA ZIARA YA MSANII WA MAREKANI FUTURE



future

Future ametoa orodha ya ziara yake ya muziki ya ‘The Future Hendrxx Tour’ na Tanzania ni moja ya nchi ambayo Tour hiyo itatembelea.
Future atatumbuiza Tanzania pamoja na Diamond Platnumz, Vanessa Mdee, Navy Kenzo na Weusi.

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...