airtel

airtel

.

.

Saturday, January 26, 2013

KUTOKA BARCELONA: SHAKIRA ASEMA MWANAE MILLAN NI MWANACHAMA WA FC BARCELONA

Muimbaji SHAKIRA tayari ametangaza habari  kwenye tovuti yake, akisema mwanae ameshaanza kufuata nyayo za baba yake, mwanasoka Gerard Pique, akisema: "Kama baba, mtoto Milan amekuwa member wa FC Barcelona baada tu ya kuzaliwa."
 
Aliongeza:  "Tuna furaha kutangaza kuzaliwa kwa Milan Pique Mebarak, mtoto wa Shakira Mebarak na Gerard Pique, aliyezaliwa January 22nd at 9:36pm, jijni Barcelona, Spain.

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...