airtel

airtel

.

.

Monday, January 14, 2013

TENGA: SIGOMBEI TENA URAISI WA TFF NAWAACHIA NAFASI WENGINE

Rais wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), Leodegar Chillah Tenga ametangaza rasmi kutogombea tena uongozi wa shirikisho hilo, baada ya kulitumikia kwa miaka minane. Pichani ni Tenga mwenye umri wa miaka 58 akizungumza na Waandishi wa Habari kwenye ukumbi wa mikutano wa TFF mchana wa leo.

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...