airtel

airtel

.

.

Saturday, January 12, 2013

YANGA YAFUNGWA NA EMMEN FC YA UTURUKI 2-0


Klabu bingwa ya Afrika mashariki na kati Dar Young African wameendelea na mechi za kujifua huko nchini Uturuki kwa leo kucheza na timu ya Emmen FC ya ligi daraja la kwanza nchini Uholanzi  katika mchezo wa kirafiki uliofanyika katika viwanja vya Adora football - Berek pembeni kidogo ya mji wa Antlaya. Mechi hiyo imeisha hivi punde kwa Yanga kufungwa mabao 2-0.

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...