Waziri wa Ujenzi Dkt. John Magufuli akiongea na wajumbe mbalimbali waliofika
katika uzinduzi wa kivuko cha
kigamboni leo jijini Dar es Salaam kinachofanyiwa matenganezo na Jeshi la Wanamaji maeneo ya kurasini
,ambacho kinatarajiwa kuanza kutumika rasmi alhamisi wiki hii.
|
Waziri wa Ujenzi Dkt. John Magufuli ( katikati mwenye suti
nyeusi) akielekea katika eneo ambalo
kivuko cha MV Kigamboni kilipo kwa
ajili ya ukaguzi wa kazi iliyofanywa na wahandisi wa Jeshi la Wanamaji leo
jijini Dar es Salaam.
|
Waziri wa Ujenzi Dkt. John Magufuli ( katikati) akipata
maelekezo kutoka kwa Msimamizi wa
matengenezo Luten Kanali Abel Gwanafyo
(Kulia), kushoto ni Mkuu wa Jeshi la Maji Brigadia Jenerali
Rostian Laswai wakati wa ufunguzi wa kivuko hicho leo jijini Dar es Salaam
,amabapo kinatarajiwa kuanza kutumika
wiki kurahisisha usafiri kwa watu
wa Kigamboni
|
Kivuko cha Mv Kigamboni
kinavyoonekana kwa ndani, kinatarajiwa kuanza kutumika siku ya alhamisi baada
ya matengenezo yalifanywa na Jeshi la Wanamaji kwa mda wa wiki tatu tangu kilipoaacha
kufanya kazi Agosti 14 mwaka huu.Picha na Lorietha Laurence
|
No comments:
Post a Comment