NATANGAZA NIA 2015 NAELEKEA IKULU
WAZIRI wa maliasili na utalii na mbunge wa jimbo la Singida
kaskazini(CCM) ,Lazaro Samwel Nyalandu,ametangaza rasmi nia ya kugombea
nafasi ya urais katika uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika mwakani.
Nyalandu ametangaza nia hiyo leo kwenye mkutano wa hadhara uliofanyika katika kijiji cha Ilongero Jimbo la Singida kaskazini.
|
No comments:
Post a Comment