airtel

airtel

.

.

Sunday, December 28, 2014

WAZIRI WA MALIASILI NA UTALII MH.LAZARO NYALANDU AMETANGAZA NIA YA KUGOMBEA URAIS 2015

http://3.bp.blogspot.com/-7yQxvd6jBms/VKA9V_UZbNI/AAAAAAADK7U/C8J8bqAK8Go/s1600/z.%2BNyalandu%2Bjukwaani%2B.JPG
NATANGAZA NIA 2015 NAELEKEA IKULU
WAZIRI wa maliasili na utalii na mbunge wa jimbo la Singida kaskazini(CCM) ,Lazaro Samwel Nyalandu,ametangaza rasmi nia ya kugombea nafasi ya urais katika uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika mwakani. 
Nyalandu ametangaza nia hiyo leo kwenye mkutano wa hadhara uliofanyika katika kijiji cha Ilongero Jimbo la Singida kaskazini.

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...