airtel

airtel

.

.

Thursday, January 22, 2015

WENYEVITI WA KAMATI WAKUTANA NA ANA MAKINDA

 Spika wa Bunge Mhe. Anne Makinda akiongoza kikao cha Kamati ya Uongozi kinachojumuisha wenyeviti wote wa Kamati za Bunge kilichokaa leo kupanga Ratiba ya Mkutano wa Bunge wa Kumi na Nane  katika Ofisi Ndogo ya Bunge jijini Dar es Salaam leo. Mkutano wa Bunge wa Kumi na nane utaanza jumanne ijayo tarehe 27 Januari na utakuwa ni wa wiki mbili. 
 Mwenyekiti wa Kamati ya Hesabu za Serikali za Mitaa Mhe. Zitto Kabwe akifafanua jambo mbele ya wajumbe wa Kamati ya Uongozi wakati kamati hiyo ilipokaa kuapanga ratiba ya Mkutano wa Bunge unaoanza jumanne tarehe 27 Januari
 Mwenyekiti wa Kamati ya Hesabu za Serikali za Mitaa Mhe. Zitto Kabwe akifafanua jambo mbele ya wajumbe wa Kamati ya Uongozi wakati kamati hiyo ilipokaa kuapanga ratiba ya Mkutano wa Bunge unaoanza jumanne tarehe 27 Januari
Mwenyekiti wa Kamati ya Hesabu za Serikali za Mitaa Mhe. Rajabu Mbarouk akieleza jambo mbele ya wajumbe wa Kamati ya Uongozi wakati kamati hiyo ilipokaa kuapanga ratiba ya Mkutano wa Bunge unaoanza jumanne tarehe 27 Januari
Spika wa Bunge Mhe. Anne Makinda akiongoza kikao cha Kamati ya Uongozi kinachojumuisha wenyeviti wote wa Kamati za Bunge kilichokaa leo kupanga Ratiba ya Mkutano wa Bunge wa Kumi na Nane  katika Ofisi Ndogo ya Bunge jijini Dar es Salaam leo. Mkutano wa Bunge wa Kumi na nane utaanza jumanne ijayo tarehe 27 Januari na utakuwa ni wa wiki mbili. 

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...