
Sasa latest news kutoka kwa kundi hilo ni kuwa limerudi tena na sasa hivi lipo mbioni kutoa Album yake mpya kabisa itakayokwenda kwa jina la Love Songs ambayo inatarajiwa kuachiwa mwishoni mwa mwezi huu Tarehe 29.
Nasta boy blogspt Team inawaahidi wadau wote wa blog hii kuwa mara nyimbo hiyo itapotoka tutaweza kuwawekea msikilize na kuitathimini je itafanya vyema kama nyimbo zao zilizopita.
No comments:
Post a Comment