airtel

airtel

.

.

Saturday, October 3, 2015

MKALI WA SONGI LA 'AMARULA' ROBERTO TOKA ZAMBIA AWASILI NCHINI TANZANIA


Mtangazaji wa Jembe FM host wa kipindi cha HIT ZONE kinachoruka hewani siku za Jumatatu hadi Ijumaa saa saba mchana hadi saa kumi jioni Timoth Ngalula aka 'Mbaba' akifanya mahojiano na mwanamuziki toka nchini Zambia Roberto ambaye ni mkali wa songi linalokwenda kwa jina la Amarula, ikiwa ni maandalizi ya show yake kali itakayofanyika kesho Jumamosi ya tarehe 3 oct 2015 Jembe Beach Resort Malimbe jijini Mwanza, Kiingilio ni shilingi 10,000/= Kawaida na VIP ni shilingi 50,000/=.
BOFYA PLAY KUSIKILIZA SEHEMU YA KWANZA.  
Mwanamuziki toka nchini Zambia Roberto ambaye ni mkali wa songi linalokwenda kwa jina la Amarula, hapa akisikiliza kwa umakiini moja kati ya maswali yaliyoulizwa na HIT ZONE ya JEMBE FM Mwanza 
ZAIDI BOFYA PLAY KUSIKILIZA SEHEMU YA PILI.

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...