|
Mtangazaji
wa Jembe FM host wa kipindi cha HIT ZONE kinachoruka hewani siku za
Jumatatu hadi Ijumaa saa saba mchana hadi saa kumi jioni Timoth Ngalula
aka 'Mbaba' akifanya mahojiano na mwanamuziki toka nchini Zambia Roberto
ambaye ni mkali wa songi linalokwenda kwa jina la Amarula, ikiwa ni
maandalizi ya show yake kali itakayofanyika kesho Jumamosi ya tarehe 3
oct 2015 Jembe Beach Resort Malimbe jijini Mwanza, Kiingilio ni shilingi
10,000/= Kawaida na VIP ni shilingi 50,000/=. |
BOFYA PLAY KUSIKILIZA SEHEMU YA KWANZA.
|
Mwanamuziki
toka nchini Zambia Roberto ambaye ni mkali wa songi linalokwenda kwa
jina la Amarula, hapa akisikiliza kwa umakiini moja kati ya maswali
yaliyoulizwa na HIT ZONE ya JEMBE FM Mwanza
ZAIDI BOFYA PLAY KUSIKILIZA SEHEMU YA PILI. |
No comments:
Post a Comment